Hey guys nice evening.mi bado nipo ila leo nilikuwa bise kidogo. Love ya
Comments
Papavibwengo ni lako na chakubimbi pia ni lako.imeisha hiyo amna kutangaza
Sawa little Kinyankera bila shaka umefurahia jina lako jipya naamini umelidhika na maelezo niliyotoa kwenye Tangazo lako sasa ninaweza nikaondoka kwa amani bila deni la mtu maana ulikuwa unanisumbua sana
Hahaaa! unasema hakuna kutangaza kumbe haujaona hapo chini post ya tangazo lako maalumu tena ni official kbs likiwa na picha yako
Hivi we Little Kinyankera unataka kupingana na Bwana Yesu yeye ndiye aliyetoa maamlaka na kusema "Mtakacho kifunga duniani kimefungwa mbinguni na mtakacho kifungua duniani kimefunguliwa na mbinguni" sasa mimi nilisha funga na kupiga na muhuri wa moto kbs sasa wewe bishana na maneno ya Yesu uone kitakacho kupata.
I will mic u too Janet me naondoka kexho guys i will mic u xo much I hope we meet again let's juxt play for each other love you guys xo much goodyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee guys
ulikuwa bise wapi wakati ulikuwa unaogopa mwanga yani we mida yako ni usiku tu(popo)...........jokes.......ila dah ntawamiss sana all shule directors alafu mbona leo simuoni teddy,steron,legend.............mpo wapi leo ndo siku ya mwisho mi kuwa hapa