Mhmm! Huko sinaga interest

Hi guys yaani huku kumepoa
Hahaa! Kibwengo wangu embu Pa pashe jikoni basi pawe pamoto
Hey guys how a you hope ur all fine,,,,,
Am back after 3months miss u all.
Merry Christmas u all jah bless you and happy boxing day,,,,
Duh! Meryline sio kwa kunenepa huko fanya mazoezi angalau uwe km vibwengo wangu au umeamua kufanya mashindano ya kunenepa na Upendo
MERRY CHRISTMAS TO ALL
LAVENDER WINTER. Posted on 2 days ago
una wivu we kaka. si utangaze umerejea
Hahaa! Aisee Upendo sina mic nipatie basi nianze kutangaza kwa watu kuwa nimesharudi
Hahaa! Hamna Sylvia huo ndio ukweli wenyewe hata Bidada wetu analifahamu km mm daima ni msema kweli.
Rastafary never die and if they die they never decay and if they do so they never smell and if they do so they smell like mmarijuana
Hahaa! Sylvia wala hakuna shida yoyote hiyo shida itoke wapi tena
Sylvia we sema tu ukweli bhn, wa Swahili si wanasemaga ukipenda ua unapenda na boga lake au sio hivyo?
Discussion posted in Entertainment Discussions
Hellow guyz,LOOK WHO’S BAACK
Yaani we bidada wetu kufika tu home hata mabegi hauja tua umeanza kutuletea fujo zako unaonekana ulitumiss sana