
GUYS WHERE ARE YOU NOW??????? Mkeshani au mnaungojea mwaka nyumbani???
Chris kaenda kumfata mwanae dampo ......au umesahau Esther
Helloooooooow wadau kwnz naomba niwawish all shule directors Happy new year's eve i hop all shule directors we shall the coming year in God's power bt all in all ningependa kuwakaribisha tena wadau zetu walipotea kw mda kdg kuna;Upendo,Stellah,Fankie na wengnee ur warmly wlcom back,ila kngne ucjal my Teddy nmeiona post km ulsahau worrry out bnadam husahau nmekuelew mdg wng na pia thanks to Upendo coz naona nw Chriss atatulia kdg japo apa ashaanza kupoa ila taratbu atazoea na kngne bado npo kwny process za kumtell my sky@music arud shule direct so soon atarud au ntafkisha salamu zake humu kw hilo worry out my dears all in all i hop Mery en other guys mko poa na pia Esther nliona jbu kuwa leo ndo unaanza safari ok safari njemaa mwaya ufke salama en best wishes in ur papers kuna kiumbe kngne anaitwa Moses i hop ur ok nakusalmia tu jaman maan kuna wakina Chriss weng humu wacje kuthnk negative mwsho wa cku wakamwambia sky@music nambetray nakusalmia tu mwaya i hop en Teddy ur okay my bby gal na wagen woteeee karbun sanaaaaaaaaa
Jamani niawatakieni nyote happy new year's eve !!!!!!!!!.......tuombe MUNGU UZIMA TUINGIE 2021...bye
Sema nafurahi naingia 2021 ila strees inaanza tuuuu kwenye skonga
Hahaaaaa! Hii ni kweli kabisa
Je Chris ikitokea leo tukio kama hilo utakubali kumkiss
Jamani niawatakieni nyote happy new year's eve !!!!!!!!!.......tuombe MUNGU UZIMA TUINGIE 2021...bye