Morning malaika

i will miss u all shule directors...love u all...esspecially,janet(popo),jessy,chriss,magreth,soapy,venilla,teddy,erica na wengine wote
Hello guys good evening.love you.mi sina jingine ila tu nataka kuwaaga.Mikesho naenda shule nitawakumbuka sana pia nawaaga kwa kuwa mi nahitimu form four.kwa wale tunao fanya mitihani tuombe kwa Mungu uzima na atuwezeshe tufanye mitihani salama na pia atulinde.nawaonbeni msome zaburi32:8 . nitawakumbuka sana kwakuwa nimejifunza mengi nikiwa humu nawashukuru sana kwaushirikiano wenu.mungu awalinde nawatakia masomo mema.nawapenda Sana
Katika maisha kuna Mambo mawili ambayo ni kukutana na kuachana na pale mnapo kutana ni wakati wafuraha na ni mzuri Sana pia wakati wa kuachana ndipo huzuni inatawala.Kwaheriniwale mnaondoka kesho mi ni form four nikiondoka ni mazima.Piamtuombee jamani tuna mitihani . Jioni njema wapendwa nawapenda Sana ila sata left mpaka nikisha maliza mitihani nije nuwaage vizuri.nawapenda sanaaaaaa
Discussion posted in Entertainment Discussions
mrng guys!!!!
Morning