Amen bro

jaman guys its ma op dat u are well its now time for i 2 bid farewell to all shule directors thanx 4 ur company ushauri participation and all good things u did to me cna cha kuwalipa ila kikubwa tuombeane mafanikio au cyo lkn nitawamiss sana especially bro chris teddy jessie na all ambao cijawataja daah adi nalia guys tukutane december byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
jaman guys its ma op dat u are well its now time for i 2 bid farewell to all shule directors thanx 4 ur company ushauri participation and all good things u did to me cna cha kuwalipa ila kikubwa tuombeane mafanikio au cyo lkn nitawamiss sana especially bro chris teddy jessie na all ambao cijawataja daah adi nalia guys tukutane december byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
TANGAZO MAALUMU LA JINA JIPYA
Habari wapendwa wote wa shule direct!
Leo kwamara ya kwanza na post picha yangu humu tangu nijiunge, ila ipo kwa kazi maalumu ambayo niliyoachiwa na vibwengo wangu ili niikamilishe.
Nimeamua kutimiza ahadi yangu Kwa ushirikiano mkubwa wa vibwengo wangu Little kibwengo (Savannah) yeye ndiye aliye shusha sala na maombi ya ubatizo alipo maliza tu akarudi Baharini kwao mpk leo hana dalili ya kurudi nchi kavu, pia shukrani za pekee ziende kwa KIBWENGO (Teddy) kwa kusaidia kutambua jamiipya kbs ambayo bidada wetu anayotokea na kuniimalishia ulinzi nisidhulike na kufanya kazi kubwa sana kwa mikono yake. Hivyo basi nachukua nafasi hii adhimu kutangaza rasmi jina jipya la Bidada wetu kuanzia sasa ataitwa "LITTLE KINYANKERA" na si JANET km alivyokuwa akiitwa zamani kabla hajabatizwa. Ahsanteni Sana!
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sasa mbna umejiblock bro
Discussion posted in Entertainment Discussions
ukisoma kwa mbinu hii 100% utafaulu saa 1,2,3,4, Asubuhi 5,6 fanya Discussion 7,8,9, fanya refreshment 10,11,12,1,read 2,3 rest 4,5,read 6,7,8,9, sleep 10,11,12, read tusome xana guyz
Sure