
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote! Hahaaaaaaaaaaaaa
Hi guyz mbona kimya kama jessica.Leo nilikuwa sipo kwenye shule direct coz nimeenda mjini for shopping guyz na by now ninavaa miwani kwahiyo kuna watakao niita macho manne.