Super

Naanza na salamu muhali gani wakristo waislamu hadi wapagani ,
Naona mnapambana kusafilia nyota ningumu kutupa jembe moyo wako sita
Elimu mtaani ni ngumu kuliko elimu darasani , baniani mbaya kiatu chake dawa , chunga uvivu mavumbi yatakujaa machoni zile ahadi za mbivu zitaishia ndotoni, elimu ni jabari ni hatari chunga lisipachuke kuwa hodari usichekwe
Wazazi fahari tabasamu lisiondoke
Nihayo machache muyashike shida yasasa ndo furaha ya baadae unufaike
Unaposema shule direct ndokwanza naketi , kwanza haina mengi makelele so, ukipanda mnazi ruksa kukaa siti ya mbele, maneno yasiku hizi kama ajali wengi wanaishi tegeta nyuki lakin hawajui utamu wa asali watakacho kwambia we usijali maana huwezi tumia kamba ya raba kukazia buti ya gari wamakonde ndo wanashabikia ndanda unaweza kuta mkude simba nae anashabikia yanga, unaposema masomo magumu unanichekesha wenzako magari alafu wew chooni unaendesha kama unapenda waweza kunifata maana mim ndo kaka ake na king kaka
Lovee u all
Hello guys nimechange jina nilikuwa natumia daty wizzy ila now natumia datty de khan !!! Love u all
Discussion posted in Entertainment Discussions
Yeeeeah